Displaying 1 - 20 of 137

Faith leaders in Tanzania vouch for disability health rights and services

As the world marks the 16 Days of Activism on Gender Based Violence, religious leaders, human rights activists, and development partners in Tanzania joined on 5 December to discuss the human rights of girls and women, including those with disabilities, in a forum titled “Wealth of Knowledge and a Wealth of Care.”

Mawasiliano jumuishi: "maneno yanabadilisha ulimwengu"

Idara ya Mawasiliano ya Baraza la Makanisa la Kiulimwengu (WCC) imechapisha miongozo mipya ya ndani ili kuhakikisha yanakuwapo mawasiliano jumuishi na yanayofikika. Hivi karibuni, idara ya mawasiliano ya WCC imekuwa ikifanya jitihada za kuwa na mawasiliano ambayo ni jumuishi zaidi na yanayofikika. Mfano mmoja wapo ni ule ambapo utengenezaji wa tovuti mpya ya WCC ulizingatia mahitaji ya ufikiaji kwa watu wenye ulemavu. Mfano mwingine: WCC imekuwa ikifanya majaribio ya ukalimani wa lugha ya ishara kwenye mikutano ya mitandaoni. Mwaka 2021, timu ya mawasiliano ilichunguza njia zaidi za kuhakikisha kazi ya mawasiliano yetu inakuwa jumuishi na inadumisha ufikiaji wa hali ya juu tunapojiandaa kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa 11 wa WCC utakaofanyika Karlsruhe—na zaidi. Yote haya yalilazimisha kuwepo na uhitaji wa kuwa na miongozo kwa ajili ya mawasiliano jumuishi na yanayofikika.

Inclusive communication: “words change the world”

The World Council of Churches (WCC) Communication has published new internal guidelines to ensure inclusive and accessible communication. In the recent past, WCC communication has been stepping up efforts to have a more inclusive and accessible communication. One example is that the development of the new WCC website took into consideration accessibility needs of persons with disabilities. Another example: the WCC has been testing sign language interpreta-tion in webinars. In 2021, the communication team explored even more ways to ensure our communication work is inclusive and maintains high accessibility as we prepare for the WCC 11th Assembly in Karlsruhe—and beyond. All this necessitated the need to have guidelines for inclusive and accessible communication.    

Churches urged to promote mental wellness of persons with disabilities during COVID-19

Persons with disabilities as well as other persons in the community see the church as a pillar of support to their complete wellbeing,” said Anderson Gitonga, executive director of United Disabled Persons of Kenya at a virtual dialogue, held 5 May, on promoting mental wellness of persons with disabilities in Kenya during and beyond COVID-19. There is need for the church to explore further ways to build communities of support within communities to promote mental wellness of persons with disabilities during COVID-19.”

In a COVID-stricken world, “everyone is important”

A webinar held 22 October gave space for persons with disabilities to share their reflections. Entitled “From Lamentation to Transformation,” the event, first in a series of webinars on COVID-19 perspectives, highlighted hope through stories, practical support, and social change as experienced by persons with disabilities.