Displaying 1 - 8 of 8

Desaparecidas e Assassinadas: Enfrentando o Femicídio e a Violência Sexual e de Gênero em nosso Contexto Global

25 November - 02 December 2021

Estatísticas coletas pela ONU em 2017 indicam que 87.000 mulheres foram mortas naquele ano por causa de seu gênero. Desses assassinatos, 58% – um total de 137 mulheres todos os dias – foram mortas por um membro de sua própria família ou parceiro íntimo. A pandemia de COVID-19 exacerbou ainda mais essa violência, ao ponto que, em setembro de 2020, 121 países haviam instituído e adotado novas medidas para apoiar e/ou prestar mais cuidados às mulheres sobreviventes de violência como parte de seus planos de resposta à COVID. 

Mawasiliano jumuishi: "maneno yanabadilisha ulimwengu"

Idara ya Mawasiliano ya Baraza la Makanisa la Kiulimwengu (WCC) imechapisha miongozo mipya ya ndani ili kuhakikisha yanakuwapo mawasiliano jumuishi na yanayofikika. Hivi karibuni, idara ya mawasiliano ya WCC imekuwa ikifanya jitihada za kuwa na mawasiliano ambayo ni jumuishi zaidi na yanayofikika. Mfano mmoja wapo ni ule ambapo utengenezaji wa tovuti mpya ya WCC ulizingatia mahitaji ya ufikiaji kwa watu wenye ulemavu. Mfano mwingine: WCC imekuwa ikifanya majaribio ya ukalimani wa lugha ya ishara kwenye mikutano ya mitandaoni. Mwaka 2021, timu ya mawasiliano ilichunguza njia zaidi za kuhakikisha kazi ya mawasiliano yetu inakuwa jumuishi na inadumisha ufikiaji wa hali ya juu tunapojiandaa kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa 11 wa WCC utakaofanyika Karlsruhe—na zaidi. Yote haya yalilazimisha kuwepo na uhitaji wa kuwa na miongozo kwa ajili ya mawasiliano jumuishi na yanayofikika.

Kusitasita kukubali chanjo kunaleta tena changamoto nyingine

Wakati mipango ya utoaji chanjo ikifanyika katika nchi zaidi na zaidi, kuna matumaini ya kumalizika kwa janga ambalo limeleta hofu na wasiwasi kote ulimwenguni tangu mapema mwaka 2020. Kurudi katika hali ya kawaida ya maisha ya kila siku, ambapo watu wanaweza kushirikiana na familia na marafiki, kwenda kazini kama walivyokuwa wakifanya na kumwabudu Mungu pamoja kanisani siku za Jumapili, kunasubiriwa kwa hamu.

Mais um desafio no enfrentamento da pandemia: a hesitação vacinal

Conforme as campanhas de vacinação continuam a progredir em mais e mais países, começamos a ver a luz no fim de uma pandemia que causa medo e ansiedade em todo o mundo desde o início de 2020. Todos aguardam ansiosamente um retorno à vida cotidiana, onde as pessoas podem se socializar com a família e amigos, trabalhar como antes, e adorar a Deus juntos na igreja aos domingos. 

Graves riscos à Amazônia exacerbados pela agricultura predatória e pelo proselitismo

A Criação de Deus padece na Floresta Amazônica, um espaço sagrado para 34 milhões de pessoas que sofrem com o crescimento da desigualdade, invasões de terras, extrativismo, relaxamento de leis ambientais, criminalização e assassinato de seus defensores/as e incêndios criminosos orquestrados pelo agronegócio. E tudo isso vem sido exacerbado pelo proselitismo.

WCC urges: “give highest priority to protect life”

In a pastoral letter to WCC member churches and ecumenical partners, WCC general secretary Rev. Dr Olav Fykse Tveit and WCC moderator Dr Agnes Abuom urged people to give highest priority to “doing whatever we can do to protect life” and “This is a time to touch each other’s hearts, by what we say, what we share, what we do – and what we do not do – to protect the life God loves so much.”