Displaying 1 - 7 of 7

“Love will find a way”

World Council of Churches leaders spoke on the theme “Hospitality: On a Pilgrim’s Way of Justice and Peace" at a symposium on 23 August at the Protestant Theological University Amsterdam.

Mkutano wa Umisheni na Uinjilisti Duniani “pahala panapokutanisha" imani mbalimbali

Dk. Agnes Abuom, kutoka katika kanisa la Angalikana nchini Kenya, ni msimamizi wa kamati kuu ya Baraza la Makanisa Duniani (WCC). Yeye pia ndiye aliyeandika utangulizi katika kitabu kitakachotumika katika Mkutano wa WCC kuhusu Umisheni na Uinjilisti Duniani (CWME). Maelezo hapa chini, yanamuonesha Dk. Abuom akiwa katika mahojiano yanayogusia mambo mbali mbali kuhusu umuhimu wa kihistoria na maudhui ya mkutano huu wa CWME, ambao utafanyika Arusha, Tanzania mwezi Machi, tarehe 8-13.

Voices of faith speaking to voices of fear

While news headlines continue to document tragedies on land and sea as desperate people flee violence and abject poverty in their homelands, representatives of governments, UN agencies and civil society organizations, including churches and faith-based organizations, met 18-19 January at a high-level conference on the refugee and migrant crisis in Europe, hosted by the World Council of Churches (WCC) in Geneva, Switzerland.