Mostrando 1 - 4 de 4

Mawasiliano jumuishi: "maneno yanabadilisha ulimwengu"

Idara ya Mawasiliano ya Baraza la Makanisa la Kiulimwengu (WCC) imechapisha miongozo mipya ya ndani ili kuhakikisha yanakuwapo mawasiliano jumuishi na yanayofikika. Hivi karibuni, idara ya mawasiliano ya WCC imekuwa ikifanya jitihada za kuwa na mawasiliano ambayo ni jumuishi zaidi na yanayofikika. Mfano mmoja wapo ni ule ambapo utengenezaji wa tovuti mpya ya WCC ulizingatia mahitaji ya ufikiaji kwa watu wenye ulemavu. Mfano mwingine: WCC imekuwa ikifanya majaribio ya ukalimani wa lugha ya ishara kwenye mikutano ya mitandaoni. Mwaka 2021, timu ya mawasiliano ilichunguza njia zaidi za kuhakikisha kazi ya mawasiliano yetu inakuwa jumuishi na inadumisha ufikiaji wa hali ya juu tunapojiandaa kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa 11 wa WCC utakaofanyika Karlsruhe—na zaidi. Yote haya yalilazimisha kuwepo na uhitaji wa kuwa na miongozo kwa ajili ya mawasiliano jumuishi na yanayofikika.

التواصل الشامل: "الكلمات تغير العالم"

نشر قسم الاتصال في مجلس الكنائس العالمي (WCC) دليل إرشادي داخلي جديد لضمان اتصال يتسم بالشمول ويسهل الوصول إليه. في الماضي القريب، عمل قسم الاتصال في مجلس الكنائس العالمي على رفع وتيرة جهوده لتحقيق اتصال أكثر شمولية وسهل الوصول إليه. ومن الأمثلة على ذلك تطوير موقع إلكتروني جديد خاص بمجلس الكنائس العالمي، آخذاً في الاعتبار احتياجات الوصول لذوي الاحتياجات الخاصة.  ومثال آخر: عمل مجلس الكنائس العالمي على اختبار الترجمة بلغة الإشارة في الندوات عبر الإنترنت. في عام 2021، كما استكشف فريق الاتصال طرق أكثر لضمان أن يكون تواصلنا شامل ويحافظ على إمكانية وصول عالية أثناء التحضير "لاجتماع مجلس الكنائس العالمي الحادي عشر في كارلسروه" — وما بعده. وتطلب كل هذا الحاجة إلى وضع دليل إرشادي لاتصال شامل وسهل الوصول.    

Papa Francesco riceve in dono la croce del CEC che simboleggia la disabilità, scolpita da un artista keniota con una dedica

La perdita dell’udito e del linguaggio non hanno impedito all’artista keniota Karim Okiki di dedicarsi all’intaglio del legno e scolpire una croce simbolica che egli stesso donerà a Sua Santità Papa Francesco durante la sua visita al Consiglio ecumenico delle chiese (CEC) a Ginevra. Questa croce rappresenta le persone con disabilità di tutto il mondo.