Displaying 1 - 5 of 5

Згідно із заявами ВРЦ та ACT Alliance помісні церкви надають активну допомогу 10 мільйонам переміщених українців

Під час прес-брифінгу з журналістами 22 березня представники делегації Всесвітньої ради церков (ВРЦ) та ACT Alliance поділилися своїми враженнями від нещодавньої поїздки до Угорщини, Румунії та України, під час якої вони на власні очі переконалися у наявності критичної гуманітарної ситуації, а також в ефективній ролі церкви щодо подолання цієї кризи.

Руйнування, переміщення, голод, хвороби та смерть: Україна, Росія та інші країни

З моменту початку військового наступу Росії на Україну 24 лютого, за приблизними оцінками, конфлікт зачепив понад 18 мільйонів осіб (41% населення України). Майже кожен четвертий українець був змушений покинути свою домівку, близько 6,5 мільйонів людей стали внутрішньо переміщеними особами, а понад 3,5 мільйони людей втекли з країни.

Mawasiliano jumuishi: "maneno yanabadilisha ulimwengu"

Idara ya Mawasiliano ya Baraza la Makanisa la Kiulimwengu (WCC) imechapisha miongozo mipya ya ndani ili kuhakikisha yanakuwapo mawasiliano jumuishi na yanayofikika. Hivi karibuni, idara ya mawasiliano ya WCC imekuwa ikifanya jitihada za kuwa na mawasiliano ambayo ni jumuishi zaidi na yanayofikika. Mfano mmoja wapo ni ule ambapo utengenezaji wa tovuti mpya ya WCC ulizingatia mahitaji ya ufikiaji kwa watu wenye ulemavu. Mfano mwingine: WCC imekuwa ikifanya majaribio ya ukalimani wa lugha ya ishara kwenye mikutano ya mitandaoni. Mwaka 2021, timu ya mawasiliano ilichunguza njia zaidi za kuhakikisha kazi ya mawasiliano yetu inakuwa jumuishi na inadumisha ufikiaji wa hali ya juu tunapojiandaa kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa 11 wa WCC utakaofanyika Karlsruhe—na zaidi. Yote haya yalilazimisha kuwepo na uhitaji wa kuwa na miongozo kwa ajili ya mawasiliano jumuishi na yanayofikika.

Kusitasita kukubali chanjo kunaleta tena changamoto nyingine

Wakati mipango ya utoaji chanjo ikifanyika katika nchi zaidi na zaidi, kuna matumaini ya kumalizika kwa janga ambalo limeleta hofu na wasiwasi kote ulimwenguni tangu mapema mwaka 2020. Kurudi katika hali ya kawaida ya maisha ya kila siku, ambapo watu wanaweza kushirikiana na familia na marafiki, kwenda kazini kama walivyokuwa wakifanya na kumwabudu Mungu pamoja kanisani siku za Jumapili, kunasubiriwa kwa hamu.

Il CEC e il Pontificio Consiglio per il Dialogo Interreligioso pubblicano il documento “Al servizio di un mondo sofferente”

Il Consiglio Ecumenico delle Chiese (CEC), e il Pontificio Consiglio per il Dialogo Interreligioso (PCID, Pontifical Council for Interreligious Dialogue) hanno pubblicato un documento congiunto, “La solidarietà interreligiosa al servizio di un mondo sofferente: un appello alla riflessione e all’azione dei cristiani durante e post-COVID-19”. Il suo scopo è stimolare le chiese e le organizzazioni cristiane a riflettere sull’importanza della solidarietà interreligiosa in un mondo colpito dalla pandemia del COVID-19.