Mostrando 1 - 8 de 8

Upendo wa Kristo Unauleta Ulimwengu katika Umoja na Upatanisho. Tafakuri juu ya ujumbe wa Mkutano Mkuu wa 11 wa Baraza la Makanisa Ulimwenguni, Karlsruhe 2022.

The result of the work of an international group drawn from different regions and confessional traditions, the text is intended as a resource for churches and Christians worldwide in advance of the WCC’s 11th Assembly, to take place in Karlsruhe, Germany, from 31 August to 8 September 2022. It offers biblical and theological reflections on the assembly theme, inspired by a biblical verse – “For the love of Christ urges us on” (2 Cor. 5:14) – against the backdrop of critical issues confronting churches and humanity as a whole. The text is available initially in four languages – English, French, German, and Spanish.

Mawasiliano jumuishi: "maneno yanabadilisha ulimwengu"

Idara ya Mawasiliano ya Baraza la Makanisa la Kiulimwengu (WCC) imechapisha miongozo mipya ya ndani ili kuhakikisha yanakuwapo mawasiliano jumuishi na yanayofikika. Hivi karibuni, idara ya mawasiliano ya WCC imekuwa ikifanya jitihada za kuwa na mawasiliano ambayo ni jumuishi zaidi na yanayofikika. Mfano mmoja wapo ni ule ambapo utengenezaji wa tovuti mpya ya WCC ulizingatia mahitaji ya ufikiaji kwa watu wenye ulemavu. Mfano mwingine: WCC imekuwa ikifanya majaribio ya ukalimani wa lugha ya ishara kwenye mikutano ya mitandaoni. Mwaka 2021, timu ya mawasiliano ilichunguza njia zaidi za kuhakikisha kazi ya mawasiliano yetu inakuwa jumuishi na inadumisha ufikiaji wa hali ya juu tunapojiandaa kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa 11 wa WCC utakaofanyika Karlsruhe—na zaidi. Yote haya yalilazimisha kuwepo na uhitaji wa kuwa na miongozo kwa ajili ya mawasiliano jumuishi na yanayofikika.

“阿鲁沙对门徒之召唤” 声明发表

世界基督教会联合会世界宣教和福音大会(CWME)的与会者于 3月13日会议闭幕日发表了 “对门徒之召唤”声明。一千多名从事传教和布道工作的基督徒来到坦桑尼亚参加会议, 他们都来自于世界各地不同的基督教传统。

中国的基督徒热情接待世基联代表团

世界基督教会联合会(WCC)总干事Olav Fykse Tveit牧师(博士) 及世基联代表团于1月7日至16日期间正在中国访问成员教会。Tveit在一次简短的访谈中描述到与中国基督教协会共庆WCC七十周年纪念活动的喜悦之情。

Tveit:“别害怕!世界召唤我们带来希望”

世界基督教会联合会(WCC)对中国的访问将开启其七十周年纪念活动。1月7日,Olav Fykse Tveit博士在中国最古老的新教教堂之一的北京崇文门教堂布道, 主题为 “耶稣基督, 世界之乐。”Tveit博士带来了世界各地348个成员教会团契的问候 。

世界基督教会联合会(WCC)代表团访问中国

世界基督教会联合会(WCC)总干事Olav Fykse Tveit牧师(博士)及WCC代表团将于1月7日至16日访问中国的成员教会。 WCC七十周年纪念活动由此次历史性访问展开。 除了Tveit先生以外,代表团随行成员还包括WCC亚洲区主席Sang Chang博士和WCC跨宗教对话项目执行Peniel Rajumkar牧师先生(博士)。

GEM課程圓滿結束 期盼明天更好

由普世教會協會(WCC)及普世改革宗教會聯盟(WCRC)籌辦的「治理、經濟與管理(Governance, Economics and Management, GEM)課程」於2016年8月22日至9月2日在香港舉辦。德國烏伯塔/伯特利改革宗大學(Protestant University of Wuppertal/Bethel)服事與管理學院(Institute for Diakonia and Management)經濟與商業倫理學首席教授馬丁・布舍爾(Martin Büscher)在課程尾聲提到,「身為有神學背景的經濟學及經濟倫理學教授,又是GEM課程的負責人,我認為以國際學生倡議引人注目的多元經濟學對新自由化單一經濟學提出挑戰,以全新思維來面對經濟學的時刻已經到了。」