Mostrando 1 - 11 de 11

Upendo wa Kristo Unauleta Ulimwengu katika Umoja na Upatanisho. Tafakuri juu ya ujumbe wa Mkutano Mkuu wa 11 wa Baraza la Makanisa Ulimwenguni, Karlsruhe 2022.

The result of the work of an international group drawn from different regions and confessional traditions, the text is intended as a resource for churches and Christians worldwide in advance of the WCC’s 11th Assembly, to take place in Karlsruhe, Germany, from 31 August to 8 September 2022. It offers biblical and theological reflections on the assembly theme, inspired by a biblical verse – “For the love of Christ urges us on” (2 Cor. 5:14) – against the backdrop of critical issues confronting churches and humanity as a whole. The text is available initially in four languages – English, French, German, and Spanish.

Mawasiliano jumuishi: "maneno yanabadilisha ulimwengu"

Idara ya Mawasiliano ya Baraza la Makanisa la Kiulimwengu (WCC) imechapisha miongozo mipya ya ndani ili kuhakikisha yanakuwapo mawasiliano jumuishi na yanayofikika. Hivi karibuni, idara ya mawasiliano ya WCC imekuwa ikifanya jitihada za kuwa na mawasiliano ambayo ni jumuishi zaidi na yanayofikika. Mfano mmoja wapo ni ule ambapo utengenezaji wa tovuti mpya ya WCC ulizingatia mahitaji ya ufikiaji kwa watu wenye ulemavu. Mfano mwingine: WCC imekuwa ikifanya majaribio ya ukalimani wa lugha ya ishara kwenye mikutano ya mitandaoni. Mwaka 2021, timu ya mawasiliano ilichunguza njia zaidi za kuhakikisha kazi ya mawasiliano yetu inakuwa jumuishi na inadumisha ufikiaji wa hali ya juu tunapojiandaa kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa 11 wa WCC utakaofanyika Karlsruhe—na zaidi. Yote haya yalilazimisha kuwepo na uhitaji wa kuwa na miongozo kwa ajili ya mawasiliano jumuishi na yanayofikika.

70년 한국전쟁 종식을 위한 세계기독교인 기도캠페인

이홍정 한국기독교교회협의회(NCCK) 세계교회협의회(WCC) 한반도 평화를 위한 기도 캠패인을 (3월1일-8월 15일) 세계가 영구적 평화를 맞이 할 준비가 되어 있다는 것을 증명하는 것이라고 기도캠패인의 의미를 평가했다. 이 총무는 지난해 2019년 한반도 평화에 대한 미국 태도는 마치 평화를 향한 한국인의 주권을 침해하는 것처럼 보인다고 지적했다. 더욱이 그는 “미국의 주요 정당들이 중간 선거와 대통령 선거에서 우위를 차지하기 위해 한국 문제를 다루어 결국 남북의 평화를 향한 목소리를 잠재우는 것을 보고 실망스러움을 감출수 없다”고 말했다.

WCC 총무 NCCK 68차 총회 기조 연설, “우리는 과연 모두 그리스도의 사랑으로 세상의 공동 이익을 위해 헌신하고 있는가?”

세계교회협의회(WCC) 총무, 울라프 픽쉐 트베이트 총무는 한국기독교교회협의회 제 68차 총회에서 예수께서 제자들과 함께하신 최후의 만찬에 관한 요한복음서 기록에 기초한 “새 계명의 길을 걸어라”라는 총회 주제로 기조연설을 했다.