Mostrando 1 - 8 de 8

Upendo wa Kristo Unauleta Ulimwengu katika Umoja na Upatanisho. Tafakuri juu ya ujumbe wa Mkutano Mkuu wa 11 wa Baraza la Makanisa Ulimwenguni, Karlsruhe 2022.

The result of the work of an international group drawn from different regions and confessional traditions, the text is intended as a resource for churches and Christians worldwide in advance of the WCC’s 11th Assembly, to take place in Karlsruhe, Germany, from 31 August to 8 September 2022. It offers biblical and theological reflections on the assembly theme, inspired by a biblical verse – “For the love of Christ urges us on” (2 Cor. 5:14) – against the backdrop of critical issues confronting churches and humanity as a whole. The text is available initially in four languages – English, French, German, and Spanish.

Mawasiliano jumuishi: "maneno yanabadilisha ulimwengu"

Idara ya Mawasiliano ya Baraza la Makanisa la Kiulimwengu (WCC) imechapisha miongozo mipya ya ndani ili kuhakikisha yanakuwapo mawasiliano jumuishi na yanayofikika. Hivi karibuni, idara ya mawasiliano ya WCC imekuwa ikifanya jitihada za kuwa na mawasiliano ambayo ni jumuishi zaidi na yanayofikika. Mfano mmoja wapo ni ule ambapo utengenezaji wa tovuti mpya ya WCC ulizingatia mahitaji ya ufikiaji kwa watu wenye ulemavu. Mfano mwingine: WCC imekuwa ikifanya majaribio ya ukalimani wa lugha ya ishara kwenye mikutano ya mitandaoni. Mwaka 2021, timu ya mawasiliano ilichunguza njia zaidi za kuhakikisha kazi ya mawasiliano yetu inakuwa jumuishi na inadumisha ufikiaji wa hali ya juu tunapojiandaa kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa 11 wa WCC utakaofanyika Karlsruhe—na zaidi. Yote haya yalilazimisha kuwepo na uhitaji wa kuwa na miongozo kwa ajili ya mawasiliano jumuishi na yanayofikika.

G7は飢餓に取り組まなければならない

イエメンやソマリア、南スーダン、そしてナイジェリアでは、2,000万人が飢餓に苦しんでいる。ところが、このような人々の命を救うための取り組みは、まだ十分に行われていない。この中には、今すぐ救いの手を差し伸べなければ命の危機に直面してしまう子どもたちが、140万人も含まれている。

日本キリスト諸教団マイノリティ問題を論議

20の日本キリスト諸教団とマイノリテイライトネットワーク又海外の20の諸教会や関係者団体などより約200人が11月18日より21日にわたリ東京在日韓国YMCAにおいて第3回“マイノリティ問題と宣教”をテーマとする国際会議に出席しました。

“世界は核兵器を廃絶しなくてはならない”

“まず私たちに求められていることは、私たちの信念に生きる勇気を持つことです。世界教会協議会(WCC)にとって、私たちの信念は世界は核兵器を廃絶しなければいけないということです。WCCアジア代表Sang Chang牧師は8月6日広島で開催された核軍縮シンポジウムの講演で述べました。

ドイツの監督が核兵器禁止のために全キリスト教会による後押しを誓う

ドイツ福音主義教会EKD常議員会議長、被ばく70周年に際しての世界教会協議会の教会指導者による日本巡礼の旅のメンバーである神学博士ハインリヒ・ベッドフォード=ストローム監督は、2015年8月6日に催されたヒロシマデー集会で核兵器に反対する人道の誓約の実情を強調しました。

“メアリー・アン・スウェンソン:核兵器の持続を訴えるいかなる支持も放棄すべき時”

「今は、核兵器の持続を訴えるいかなる支持も放棄すべき時です。大量殺戮が私たちを守る合法的な方法であることを受け入れよという要求は、今こそ拒否する時です。」メアリー・アン・スウェンソン司教は、8月5日広島市の世界平和記念聖堂における英国教会カソリック平和記念の礼拝でこのように語りかけた。