Anzeigen von 1 - 4 von 4

Upendo wa Kristo Unauleta Ulimwengu katika Umoja na Upatanisho. Tafakuri juu ya ujumbe wa Mkutano Mkuu wa 11 wa Baraza la Makanisa Ulimwenguni, Karlsruhe 2022.

The result of the work of an international group drawn from different regions and confessional traditions, the text is intended as a resource for churches and Christians worldwide in advance of the WCC’s 11th Assembly, to take place in Karlsruhe, Germany, from 31 August to 8 September 2022. It offers biblical and theological reflections on the assembly theme, inspired by a biblical verse – “For the love of Christ urges us on” (2 Cor. 5:14) – against the backdrop of critical issues confronting churches and humanity as a whole. The text is available initially in four languages – English, French, German, and Spanish.

Mawasiliano jumuishi: "maneno yanabadilisha ulimwengu"

Idara ya Mawasiliano ya Baraza la Makanisa la Kiulimwengu (WCC) imechapisha miongozo mipya ya ndani ili kuhakikisha yanakuwapo mawasiliano jumuishi na yanayofikika. Hivi karibuni, idara ya mawasiliano ya WCC imekuwa ikifanya jitihada za kuwa na mawasiliano ambayo ni jumuishi zaidi na yanayofikika. Mfano mmoja wapo ni ule ambapo utengenezaji wa tovuti mpya ya WCC ulizingatia mahitaji ya ufikiaji kwa watu wenye ulemavu. Mfano mwingine: WCC imekuwa ikifanya majaribio ya ukalimani wa lugha ya ishara kwenye mikutano ya mitandaoni. Mwaka 2021, timu ya mawasiliano ilichunguza njia zaidi za kuhakikisha kazi ya mawasiliano yetu inakuwa jumuishi na inadumisha ufikiaji wa hali ya juu tunapojiandaa kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa 11 wa WCC utakaofanyika Karlsruhe—na zaidi. Yote haya yalilazimisha kuwepo na uhitaji wa kuwa na miongozo kwa ajili ya mawasiliano jumuishi na yanayofikika.

Kusitasita kukubali chanjo kunaleta tena changamoto nyingine

Wakati mipango ya utoaji chanjo ikifanyika katika nchi zaidi na zaidi, kuna matumaini ya kumalizika kwa janga ambalo limeleta hofu na wasiwasi kote ulimwenguni tangu mapema mwaka 2020. Kurudi katika hali ya kawaida ya maisha ya kila siku, ambapo watu wanaweza kushirikiana na familia na marafiki, kwenda kazini kama walivyokuwa wakifanya na kumwabudu Mungu pamoja kanisani siku za Jumapili, kunasubiriwa kwa hamu.